Thursday, January 20, 2011

VITENDEA KAZI VYA SHINDANO

1. Vibendera vyeupe na vyekundu (5 kwenye pambano).

2. Mbao za alama (7 kwenye pambano).

3. Vifaa vya rekodi (madaftari n.k).

4. Vifaa vya muda.

5. Mikanda myeupe/yabluu na myekundu.

6. Glovu.

7. Filimbi (5 kwenye pambano).

No comments:

Post a Comment