Thursday, January 20, 2011

VIGEZO ANAVYOTAKIWA KUWANAVYO REFA WA WKF(WORLD KARATE FEDERATION)

1. Umri
Kumite:Kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kata:Kuanzia miaka 35 na kuendelea.

2. Dani
Kumite:Kuanzia Dani 3 (Sandan) na kuendelea.
Kata:Kuanzia Dani 4 (Yondan) na kuendelea.

3. Majukumu: Kuchezesha:-
(a)Mashindano ya watu wazima(yaani wenye umri wa miaka 18 na kuendelea).
(b)Mashindano ya watu watoto(yaani wenye umri chini ya miaka 18).

4. Muda wa Awamu
Kumite:Miaka 4.
Kata:Miaka 4.

Baada ya kipindi hicho kuisha, refa atapaswa kufanya mtihani wa WKF(Kumite
pamoja na Kata) ili kuendelea kutambuliwa na shirikisho.

5. Mitihani
Kumite:-
(a)Nadharia
(b)Vitendo

Kata:-
(a)Nadharia
(b)Vitendo

No comments:

Post a Comment