Thursday, January 20, 2011

VIGEZO VITUMIKAVYO KUJAJI KATA YA MSHIRIKI/MSHINDANI KATIKA SHINDANO(WKF)

1. Muonekano wa maana ya kata.

2. Uelewa wa mbinu zitumikazo katika kata(BUNKAI).

3. Spidi, mtiririko(RYTHM), fokasi na nguvu.

4. Upumuaji sahihi katika kuitafuta KIME.

5. Uzatiti wa mawazo(CONCENTRATION).

6. Mikao(STANCES) na hatua sahihi.

7. Utumiaji mzuri wa kiuno na tumbo la chini(HARA).

8. Ugumu wa kata.

9. Kutanuka na kusinyaa kwa mwili.

10. Satmina.

11. Uelekeo sahihi wa mbinu.

12. Morali(SPIRIT).

13. Mlio wa shambulizi(KIAI).

14. Vituo(BREAKS).

15. Nidhamu katika matumizi ya nguvu.

16. Kujiamini(CONFIDENCE).

No comments:

Post a Comment