Thursday, January 20, 2011

MAJUKUMU YA MAREFA NA MAJAJI KATIKA MASHINDANO

1. Wanatakiwa kutofungamana na upande wowote katika maamuzi.

2. Wanatakiwa kuwaheshimu washiriki pamoja na maofisa washirika.

3. Maamuzi yao yanapaswa kuwa ya haraka mno na yanayojitosheleza.

4. Wanatakiwa kuzatiti mawazo yao yote katika shindano.

5. Wanatakiwa kuheshimu kanuni za taaluma.

No comments:

Post a Comment