Thursday, January 20, 2011

MAMLAKA YA REFA MKUU KATIKA SHINDANO

1. Atakuwa na maamuzi ya mwisho katika shindano.

2. Atawajibika kuhakikisha shindano halikiuki taratibu/kanuni zilizoainishwa.

3. Atakuwa na uwezo wa kuwaita majaji ili kujadili uamuzi
pale utata utakapo jitokeza.

4. Atakuwa na mamlaka ya kuteuwa majaji.

5. Atakuwa na mamlaka ya kubadili majaji pale itapompasa kufanya hivyo.

No comments:

Post a Comment