Thursday, January 20, 2011

STAFU YA SHINDANO

1. Mratibu wa Shindano:
Atakuwa na jukumu la kusimamia mwenendo mzima wa shindano na
kuhakikisha kila kitu kinaenda kama ilivyopangwa. Majukumu yake
hayato takiwa kuingilia sheria na taratibu za uchezeshaji wa shindano.

2. Daktari wa shindano:
Atasimamia maswala yote yanayohusika na matibabu katika shindano.

3. Timu ya Huduma ya Kwanza (First Aid):
Watatakiwa kuwa tayari kwa tatizo lolote la kiafya linaloweza kujitokeza
katika shindano kwa kusaidiana na Daktari wa shindano.

No comments:

Post a Comment