Thursday, January 20, 2011

MAMLAKA YA REFA KATIKA SHINDANO

1. Atakuwa na mamlaka ya kuanzisha na kumaliza pamambano.

2. Atakuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya jumla.

3. Atakuwa na mamlaka ya kuonya washiriki (kabla, katika na baada ya
mechi) pale itapo mbidi.

4. Atakuwa na uwezo wa kuwaita majaji ili kujadili uamuzi
pale utata utakapo jitokeza.

5. Atakuwa na mamlaka ya kuongeza muda wa pambano pale itapo bidi.

No comments:

Post a Comment