1. Mratibu wa Shindano:
    Atakuwa na jukumu la kusimamia mwenendo mzima wa shindano na
    kuhakikisha kila kitu kinaenda kama ilivyopangwa. Majukumu yake
    hayato takiwa kuingilia sheria na taratibu za uchezeshaji wa shindano.
2. Daktari wa shindano:
     Atasimamia maswala yote yanayohusika na matibabu katika shindano.
3. Timu ya Huduma ya Kwanza (First Aid):
     Watatakiwa kuwa tayari kwa tatizo lolote la kiafya linaloweza kujitokeza
     katika shindano kwa kusaidiana na Daktari wa shindano.
No comments:
Post a Comment