1. Atakuwa na mamlaka ya kuanzisha na kumaliza pamambano.
2. Atakuwa na mamlaka ya kutoa maamuzi ya jumla.
3. Atakuwa na mamlaka ya kuonya washiriki (kabla, katika na baada ya 
   mechi) pale itapo mbidi.
4. Atakuwa na uwezo wa kuwaita majaji ili kujadili uamuzi 
   pale utata utakapo jitokeza.
5. Atakuwa na mamlaka ya kuongeza muda wa pambano pale itapo bidi.
No comments:
Post a Comment