1. Umri
     Kumite:Kuanzia miaka 30 na kuendelea.
     Kata:Kuanzia miaka 35 na kuendelea.
2. Dani
     Kumite:Kuanzia Dani 3 (Sandan) na kuendelea.
     Kata:Kuanzia Dani 4 (Yondan) na kuendelea.
3. Majukumu: Kuchezesha:-
     (a)Mashindano ya watu wazima(yaani wenye umri wa miaka 18 na kuendelea).
     (b)Mashindano ya watu watoto(yaani wenye umri chini ya miaka 18).
4. Muda wa Awamu
     Kumite:Miaka 4.
     Kata:Miaka 4.
     
    Baada ya kipindi hicho kuisha, refa atapaswa kufanya mtihani wa WKF(Kumite 
    pamoja na Kata) ili kuendelea kutambuliwa na shirikisho.
5.  Mitihani
      Kumite:-
      (a)Nadharia
      (b)Vitendo
      
      Kata:-
      (a)Nadharia
      (b)Vitendo
No comments:
Post a Comment